Msaada:Nini cha kufanya unaponunua gari used kutoka japan

Msaada:Nini cha kufanya unaponunua gari used kutoka japan

shevadon5

Senior Member
Joined
Mar 15, 2012
Posts
195
Reaction score
188
Habari wanajamvi kuna gari nimenunua kutoka japan na linatarajiwa kufika wiki ijayo.naomba ushauri wanajamvi ni kitu gani cha kufanya kabla ya kuanza kutembea nalo barabarani na ni service zipi natakiwa kuzifanya?
 
Kwanza ni vema ukajiridhisha tairi zilizopo ni za nchi za joto. Usije ukatesa n a tairi za nchi za baridi ikawa majanga
 
Kwanza ni vema ukajiridhisha tairi zilizopo ni za nchi za joto. Usije ukatesa n a tairi za nchi za baridi ikawa majanga
Shukrani kwa ushauri mkuu.je na kwa upande wa service zinakua ziko vizuri au kuna ulazima wa kufanya?
 
Habari wanajamvi kuna gari nimenunua kutoka japan na linatarajiwa kufika wiki ijayo.naomba ushauri wanajamvi ni kitu gani cha kufanya kabla ya kuanza kutembea nalo barabarani na ni service zipi natakiwa kuzifanya?
Kwa mujibu wa sheria ya viwango, gari linapaswa kukaguliwa na mawakala wa TBS Japan kabla halijasafilishwa kuja nchini ( Pre-Shipment Verification of Conformity ). Hivo basi kwa utaratibu huu gari pindi linapowasili nchini halihitaji service.

Mkuu nikiwa kama clearing agent, naomba utupe kazi, tutakutolea gari yako bandarini kwa Laki Mbili (tsh. 200,000) tu. Tunafanya kazi kwa uaminifu, haraka na ufanisi mkubwa.

Wasiliana nasi;
S.A Link Traders Ltd (clearing & forwarding company)
1st Floor-NHC Building ( Adjacent to Samora house),
Samora Avenue,
Dar es Salaam- Tanzania.
Email mail: info@salink.co.tz
Mobile: +255718 866 651 (call or whatsapp)
Website: salink.co.tz
Facebook page: https://web.facebook.com/sakink2017/
 
Kwa mujibu wa sheria ya viwango, gari linapaswa kukaguliwa na mawakala wa TBS Japan kabla halijasafilishwa kuja nchini ( Pre-Shipment Verification of Conformity ). Hivo basi kwa utaratibu huu gari pindi linapowasili nchini halihitaji service.

Mkuu nikiwa kama clearing agent, naomba utupe kazi, tutakutolea gari yako bandarini kwa Laki Mbili (tsh. 200,000) tu. Tunafanya kazi kwa uaminifu, haraka na ufanisi mkubwa.

Wasiliana nasi;
S.A Link Traders Ltd (clearing & forwarding company)
1st Floor-NHC Building ( Adjacent to Samora house),
Samora Avenue,
Dar es Salaam- Tanzania.
Email mail: info@salink.co.tz
Mobile: +255718 866 651 (call or whatsapp)
Website: salink.co.tz
Facebook page: https://web.facebook.com/sakink2017/
Thanks kaka ntawatafuta.gari yangu ni toyota voltz gharama zingine zikoje ukiacha agent fee
 
Thanks kaka ntawatafuta.gari yangu ni toyota voltz gharama zingine zikoje ukiacha agent fee
1.Gharama za wakala wa meli (shipping line) ni $95 (Delivery Order fee, sumatra charges, car service charges) VAT included.
2.Gharama za bandari;
a). Handling charges, ambayo rate yake ni $7 plus VAT per CBM (Cubic Measurement yaani Urefu x Upana x Urefu). Toyota Voltz ina CBM 12.45, kwa hiyo handling charges: (12.45 x $7) + VAT = $102.84
b). Corridor Levy, ambayo rate yake ni $0.3 plus VAT per CBM, inakua: (12.45 x $0.3) + VAT =$4.41
c). Wharfage charges, ambayo kwa sasa TRA wanaikusanya kwa niaba ya Bandari, rate ya wharfage ni 1.6% ya C.I.F value plus VAT. TRA CIF itategemea na mwaka wa gari yako.

3. Ushuru wa TRA utategemea na mwaka wa gari husika.

NB: Gharama zingine baada ya gari kutoka ni pamoja na:

  • Number Plate, tsh 30,000
  • Bima, insurance-Itategemea na insurer utakae mtumia.
 
Kwa mujibu wa TRA calculator, C.I.F value ni USD 2,624.00 na ushuru ni TSH. 6,697,443.14.
TRA calculator link: Used Motor Vehicle Valuation System - Used Motor Vehicle Valuation System
Pia wharfage charges ni ( C.I.F X 1.6% ) + VAT= ( $2,624 X 1.6% ) + VAT= $ 49.54.

Yaani ($2,624.00 CIF) 6,297,600/= + 6,697,443.14 = 12,995,043/= JUMLA
hapo hajaweka bei ya Volts aliyonunulia huko Japan na hicho kibao cha Plate namba 30,000/ au nimekosea?
Msaada Mkuu hapo tutani
 
Yaani ($2,624.00 CIF) 6,297,600/= + 6,697,443.14 = 12,995,043/= JUMLA
hapo hajaweka bei ya Volts aliyonunulia huko Japan na hicho kibao cha Plate namba 30,000/ au nimekosea?
Msaada Mkuu hapo tutani
Bei ya kununulia Japan ni hio CIF USD2,624, hapo hujaweka;
1. ushuru
2. port charges
3. Local shipping Line charges
4. Agency fee
5. Plate number.
 
Bei ya kununulia Japan ni hio CIF USD2,624, hapo hujaweka;
1. ushuru
2. port charges
3. Local shipping Line charges
4. Agency fee
5. Plate number.
Duh! Nitaendelea kutumia baiskeli yangu tu.

MGC
 
Mkuu nikiwa kama clearing agent, naomba utupe kazi, tutakutolea gari yako bandarini kwa Laki Mbili (tsh. 200,000) tu. Tunafanya kazi kwa uaminifu, haraka na ufanisi mkubwa.
Wasiliana nasi;
S.A Link Traders Ltd (clearing & forwarding company)
1st Floor-NHC Building ( Adjacent to Samora house),
Samora Avenue, Dar es Salaam- Tanzania.
Mobile: +255718 866 651 (call or whatsapp)
hii volts mbona inafikia 10m? kuitoa Japan mpaka barabarani
wewe huna hapo Gari ya kumvua mtu km Harrier Old Model nimpe hiyo 10m
Kwani toleo la mwaka 2002 la Japan likiwa Dar au Japan Mileage ikiwa sawa (mf 100,000) tofauti ni ipi kubwa?
 
Back
Top Bottom