Habari zenu ndugu zangu wana JF,ninaomba mnisaidie kujua kazi/majukumu/wajibu wa mtia sahihi mmoja mmoja katika hundi za benki za taasisi zinazosainiwa na angalau mtu mmoja(kwa wanaojua).Lakini pia mipaka yake na madaraka aliyonayo kuhusu pesa zilizomo katika akaunti.