Msaada: Ninunue Vitz au Honda Fit?

Fuel consuption,honda fit yuko vizuri sana,na niina nafasi kubwa kuliko vits
 
Honda fit andika maumivubya spea na mafundi
 
Shukrani ndugu zangu kwa ushauri wenu ilibidi nifanye pia utafiti manually spear za honda fit ilala na kariakoo zipo za kutosha.nimeamua ntaagiza honda fit.
Uamuzi Ni wako. Hivi Ile kesi kule Mahakama Kuu Mbeya Ina maana Tena? Maana Halmashauri Kuu wameshafanya Yao tayari
 
NIngekushauri fit, ninayo hybrid version yake. Tangu nimenunua siwajahi badilisha chochote kile na haijawahi nisumbua. route za town napata consumptions ya 18-20km/l, safari za mikoani napata mpaka 26km/l
 
NIngekushauri fit, ninayo hybrid version yake. Tangu nimenunua siwajahi badilisha chochote kile na haijawahi nisumbua. route za town napata consumptions ya 18-20km/l, safari za mikoani napata mpaka 26km/l
Shukrani ndugu
 
Kama zote bei ziko sawa. Nakuchagulia ambayo hujaichagua. Chukua RAUM au IST tu. Honda achana nayo kabisa.
 
SAMAHANINI WADAU NIKO NJE YA MADA KIDOGO, NIWAPE HUDUMA HII, WADAU UKIWA NA TIGO UNAWEZA USIZIME DATA KWA HIZI BANDO ZENYE UNAFUU MNOO‼️
15G=15000/=, 35GB=30000/=, 48GB=40000/= 72GB=60000/= NA 120GB=100000/=
Bando hizi utakua unazipata kwa miaka miwili mfululizo kila tarehe moja unaingiziwa, KUJIUNGA HUMTUMII MTU YEYOTE HELA,

nakupa maelekezo buree unalipia moja kwa moja tigo kama unavyojiunga vifurush vingine. Huduma hii ni uhakika nikikupa maelekezo unaweza hata kupiga 100 ukaulizia na ukalinganisha maelekezo yangu na ya customer care.
( Airtel pia naunga Huduma ya SME itakayokupa GB kibao kwa gharama kidogo)

Soma maelekezo hapo chini au nicheki 0717700921

JINSI YA KUJIUNGA
Piga *150*01#
➡️Kisha chagua no4
➡️Kisha chagua no 2 (kupata majina)
➡️Kisha chagua no 6 (tigo business)
➡️Kisha chagua no 2 (security deposit)
➡️Kisha chagua no1
➡️Kisha kumbukumbu no weka no yako ya tigo
➡️Kisha weka kiasi kulingana na kifurushi unachotaka kama ilivyo kwenye chat( angalia chat kwenye dp yangu )
➡️Kisha weka no ya siri kudhibitisha!

Ukikamilisha nifahamishe !
 
NIngekushauri fit, ninayo hybrid version yake. Tangu nimenunua siwajahi badilisha chochote kile na haijawahi nisumbua. route za town napata consumptions ya 18-20km/l, safari za mikoani napata mpaka 26km/l
Uliichukua kwa ngapi
 
bajeti yako kiasi gani ?
 
Hakuna gari la kununua hapo labda kama unamnunulia mtoto kuendea shule 😂😂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…