tutafikatu
JF-Expert Member
- Dec 17, 2011
- 3,327
- 4,624
Wasalaam!
Mimi ni mwajiriwa wa taasisi fulani binafsi. Nina mshahara take home zaidi ya millioni 2.5. Ninatafuta kiasi cha sh. Million 20-25 ili kununua uwanja.
Nimeshindwa kukopa benki za biashara kwa sababu mwajiri wangu hayuko tayari kunidhamini, na hata benki zikija ofisini hukataa kujenga mahusiano nazo.
Wapi naweza pata msaada? Niko radhi nikatwe kati ya milioni moja hadi milioni moja na nusu kwa mwezi.
Wakatabahu
Mimi ni mwajiriwa wa taasisi fulani binafsi. Nina mshahara take home zaidi ya millioni 2.5. Ninatafuta kiasi cha sh. Million 20-25 ili kununua uwanja.
Nimeshindwa kukopa benki za biashara kwa sababu mwajiri wangu hayuko tayari kunidhamini, na hata benki zikija ofisini hukataa kujenga mahusiano nazo.
Wapi naweza pata msaada? Niko radhi nikatwe kati ya milioni moja hadi milioni moja na nusu kwa mwezi.
Wakatabahu