Msaada: Nisipokula tungi huwa nakabwa na majinamizi ya kichawi. Ina maana tungi ni kiboko ya wachawi?

Msaada: Nisipokula tungi huwa nakabwa na majinamizi ya kichawi. Ina maana tungi ni kiboko ya wachawi?

Mwili huwa unatetemeka na kuwa kama unapigwa shoti.

Huwa naota ndoto za ajabu na kupiga makelele.

Lakini kama nipo matungileee huwa nalala vizuri asubuhi napiga mishe zangu tu.

[emoji23][emoji23] jaribu na BANGI siku ambazo hupigi tungi
 
Google hii kitu alcohol withdrawal symptoms utajifunza kitu humo
 
Mwili huwa unatetemeka na kuwa kama unapigwa shoti.

Huwa naota ndoto za ajabu na kupiga makelele.

Lakini kama nipo matungileee huwa nalala vizuri asubuhi napiga mishe zangu tu.
Ni kawaida kwa wanywaji wa muda mrefu. Akili/ubongo/mwili unakua umezoea kuwa katika ganzi/ulevi unapokua hunywi ghafla lazima upate mawenge...

Ila ukiacha kwa muda hali hiyo inakata. Jaribu kukaa week mbili bili kunywa hali hiyo itaisha.
 
Mwili huwa unatetemeka na kuwa kama unapigwa shoti.

Huwa naota ndoto za ajabu na kupiga makelele.

Lakini kama nipo matungileee huwa nalala vizuri asubuhi napiga mishe zangu tu.
Hiyo ndio hulka yako kwanza unauza kangala, wale hua sio majini ni kiu kwenye koo pombe huweka utelezi.

Ongeza na kindi.
 
Pombe iyo inatoka kwenye damu.. kitendo cha chemical ( pombe na damu)kuachiana ndio linaleta hilo wenge
 
Mwili huwa unatetemeka na kuwa kama unapigwa shoti.

Huwa naota ndoto za ajabu na kupiga makelele.

Lakini kama nipo matungileee huwa nalala vizuri asubuhi napiga mishe zangu tu.

unatatizo na la ubongo na kilevi. sio mtaalamu sana ndio maana usipotumia unaona mauza uza.

Mtu yoyote anayetumia kilevi kinapoingia kwenye ubongo kina nyima nafasi kibailojia kazi za ubongo na hayo unayosema ndio unalalamika.

Ukiacha au jipige soba utaniambia
 
unatatizo na la ubongo na kilevi. sio mtaalamu sana ndio maana usipotumia unaona mauza uza.

Mtu yoyote anayetumia kilevi kinapoingia kwenye ubongo kina nyima nafasi kibailojia kazi za ubongo na hayo unayosema ndio unalalamika.

Ukiacha au jipige soba utaniambia
Pumbafu
 
Nahisi unakabwa siku zote isipokuwa ukilewa huna ufahamu wa kinachoendelea mtafute kiongozi wa dini konki akuchomoe
Angalizo: Usijeenda kwenye lile dhehebu linalounga mkono ulevi kidogo.
 
Mwili huwa unatetemeka na kuwa kama unapigwa shoti.

Huwa naota ndoto za ajabu na kupiga makelele.

Lakini kama nipo matungileee huwa nalala vizuri asubuhi napiga mishe zangu tu.
Acha visingizio...punguza pombe utaua watoto, eboo!
 
Back
Top Bottom