luofe JF-Expert Member Joined Dec 31, 2011 Posts 330 Reaction score 143 Sep 2, 2012 #1 Ipi iko more valuable na nikafanyakazi vizuri
K karatta Senior Member Joined Apr 2, 2012 Posts 109 Reaction score 46 Sep 2, 2012 #2 kama unahisi Wewe ni mbunifu basi some arch
Z Ze Blessed Senior Member Joined Aug 12, 2012 Posts 123 Reaction score 13 Sep 2, 2012 #3 me cjakuelewa hiyo ni masters au degree wamekupangia hvo? Binafsi arch ndo mpango mzm
luofe JF-Expert Member Joined Dec 31, 2011 Posts 330 Reaction score 143 Sep 2, 2012 Thread starter #4 Ni degree!
C Concrete JF-Expert Member Joined Mar 12, 2011 Posts 3,605 Reaction score 550 Sep 2, 2012 #5 Zote ni nzuri, ila nzuri zaidi ni ile unayoipenda zaidi.
ndupa JF-Expert Member Joined Jan 25, 2008 Posts 4,403 Reaction score 148 Sep 2, 2012 #6 kwan wewe unapenda ipi kat ya hizo? zote zinalipa ila soma kitu unachopenda itakua vizuri zaid!!
luofe JF-Expert Member Joined Dec 31, 2011 Posts 330 Reaction score 143 Sep 2, 2012 Thread starter #7 Ni degree!
Mzee Dogo JF-Expert Member Joined Nov 13, 2010 Posts 400 Reaction score 140 Sep 3, 2012 #8 Huna ndoto?
Smile JF-Expert Member Joined Jul 18, 2011 Posts 15,347 Reaction score 11,619 Sep 3, 2012 #9 geology ndo mpango mzima utakula bata milele
Z Ze Blessed Senior Member Joined Aug 12, 2012 Posts 123 Reaction score 13 Sep 3, 2012 #10 luofe said: Ni degree! Click to expand... arctecture na mpango mzima.
Chimbuvu JF-Expert Member Joined Jul 17, 2012 Posts 4,401 Reaction score 2,341 Sep 3, 2012 #11 luofe said: Ipi iko more valuable na nikafanyakazi vizuri Click to expand... ktk maisha kuangalizia sio kosa kama ilivyo madarasani,kaa angalia maisha ya hao watu wa namna hiyo then ukiona wanavyoishi most of them ndo uamue unataka kua kama hao ama la!
luofe said: Ipi iko more valuable na nikafanyakazi vizuri Click to expand... ktk maisha kuangalizia sio kosa kama ilivyo madarasani,kaa angalia maisha ya hao watu wa namna hiyo then ukiona wanavyoishi most of them ndo uamue unataka kua kama hao ama la!
paul kitereja JF-Expert Member Joined Jun 15, 2012 Posts 260 Reaction score 45 Sep 4, 2012 #12 Wewe unapenda ipi kwanza kati ya hizo!!!? Au ndo hujielewi?