Mavindozii
JF-Expert Member
- Oct 20, 2012
- 2,111
- 2,781
Hello Gentleman ,naombeni msaada wenu please. Nina Gari aina ya Nissan cube 3 kuna saa inafika mahali inavuma sana haitaki kuachia gia kabisa inaweza kuchukua kama dk tatu mpaka 7 ndio inaachia ,nini tatizo waheshimiwa?