MSAADA: Nitawezaje kulipwa mishahara yangu iliyozuiliwa?

Mkuu kama kweli hao utumishi walisha wasilisha nyaraka zako kunakohusika, subiri utalipwa tu. Malipo ya serikali Huwa hayapo fasta fasta kama kama unavyo tarajia. Hayo malipo yanaweza kuchukua hata miaka 3 kupata hiyo pesa Yako.
chukua huu ushauri,kingine hiyo hela usiitegemee sana.
 
Hizo siku 123 umezitoa wapi mkuu!?,Mimi najua standing order inasema ni miezi 6 full payment,na baada ya hapo 6 months half payment na baada ya hapo tena unasitaafishwa
Duh, no wonder inflation will never stop...
Congrats guys.
 
Ongea vizuri na afisa utumishi anayehusika na payroll hapo halmashauri kwako! Hao jamaa wanafahamiana na jamaa walioko hazina, mbona fasta tu! Wacha ubahiri kijana vinginevyo utakaa mpaka uchaguzi wa 2030 ndipo utalipwa!
 
Sasa mkuu si ungeweza kushauri nini kingefanyika kwa kadhia hiyo aliyoielezea? Hapa kuna wengi utawasaidia!
 
M nakushaur jamaa awe mvumlvu soon atalpwa madai ya mshahara ata ipte miaka kum one day utalpwa tuuu mm n shuhuda wa hlo pia n muahaga wa hlo nkulkuwa nadai nkaja kulpwa baada ya mwaka mmoja kupta
 
Ukishajaza hiyo fomu basi endelea na mishe zako. Inaweza kuchukua hata miaka. Sio kwako tu, ni watumishi wote. Endelea kuchapa kazi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…