Msaada, Nivaeje nikitoka out au sehemu za starehe niwe na muonekano mzuri?

Msaada, Nivaeje nikitoka out au sehemu za starehe niwe na muonekano mzuri?

Twins love

Senior Member
Joined
Jan 27, 2022
Posts
114
Reaction score
160
Wapendwa habari zenu, Nimegundua kuwa sipendezi kabisa kuvaa suruali na sketi fupi na magauni ya kubana kutokana na mwili wangu ,baada ya kugundua hili ninacomfidance ya kuvaa nguo za kumwaga, lakini ninapata wakati mgumu , kutoka out nashindwa nivae nguo gani ili nisionekane Kama naenda kanisani au msikitini ,ushauri wenu ,pia ikiwezekana wenye picha tumeni aina ya nguo ambazo nahis naweza vaa kwa nyakati nilizotaja.

Napokea ushauri
 
Wapendwa habari zenu, Nimegundua kuwa sipendezi kabisa kuvaa suruali na sketi fupi na magauni ya kubana kutokana na mwili wangu ,baada ya kugundua hili ninacomfidance ya kuvaa nguo za kumwaga, lakini ninapata wakati mgumu , kutoka out nashindwa nivae nguo gani ili nisionekane Kama naenda kanisani au msikitini ,ushauri wenu ,pia ikiwezekana wenye picha tumeni aina ya nguo ambazo nahis naweza vaa kwa nyakati nilizotaja.

Napokea ushauri
Ni wa size gani mpaka unashindwa kuvaa aina fulani za nguo?

Vaa nguo za kihindi panjabi style utapendeza.
 
Kwanza pole madam inaonekana Bado hujikubal kabisa

Maana ulileta uzi wa kuomba ushaur juu ya mwil wako

Ukwel madam jiamin kwa maelezo yako ya ule ni waz wewe n mzur TU tena wa kuvutia

Kuhusu mavaz ukipiga picha hata kuanzia kiunon kushuka chin s mbaya Kwan kuna fashionist humu
Ukishindwa nitumie hata mm dm nikushauri Kwan npo sekta ya fashion

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Tafuta mtu anaitwa Gee selection Instagram am sure atakushauri uvae nini upendeze
 
Vazi la kwanza unaweza kuvaa ni kujiamini ingawa itakuchukua muda...tafuta vigauni vifupi vya kuchanua. Tumia Pinterest app kwa msaada zaidi...GoodluckView attachment 2138422View attachment 2138423
Screenshot_20220304-131335_Pinterest.jpg
 
Back
Top Bottom