Msaada: Njia mpya na ya kisasa ya kutairi wanaume

Malasome

Member
Joined
Jul 14, 2015
Posts
44
Reaction score
3
Habari wakuu,

Nimesikia kuna njia mpya na ya kisasa ya kutairi watoto wa kiume kwa kutumia vifaa maalum na nimesikia kwamba mgonjwa anapona kwa muda mfupi zaidi kulinganisha na njia ya zamani na bila mgonjwa kuumia zaidi.

Kwa anayefahamu je ni kweli? ni salama? na kwa DSM inapatikana wapi? na Gharama zake zikoje ? (NB kijana wa miaka 10 anayetakiwa kutibiwa).
 
Malasome


Mpeleke kwa wamaasai wanastaili yao balaa.
 
Last edited by a moderator:
Maasai style ni balaa kwanza lazima unakuwa mjinga na kuona wengine wajinga kumbe wewe ndio mjinga.

Hutaki unaacha fanya uchunguzi sio kwamba afanye kienyeji ila kuna jinsi wanavyoichonga ni staili ya aina yake siku ukikutana na maasai atakuelezea.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…