Msaada Njia ya Kuondoa Acid Tumboni

Tangawizi ina accelerate vidonda vya tumbo
Naongea kitu ambacho nimekitumia.
Hata jana usiku kuna mtu kalalamika higo gesi nikampa kipande katafuna kalala kwa amani kabisa.

Nawewe nakushauri ikitokea umekosa chakula muda mrefu piga ginger tea or ginger juice kisha piga kazi kutwa nzima hakuna shida ya tumbo.
 
Tatizo wajuaji wengi sana....kikubwa ajitahidi kula vitu vya base kama alivyosema mdau hapo juu..uzuri wa jivu linamaliza tatizo hapo hapo na hamna ghara,a
Tangawizi ina accelerate vidonda vya tumbo
 
Hiyo Typhoid uliitibu pia?
If yes, niambie ulitumia dawa gn
 
Dawa nzuri ni ile inayobadiri asidi kuwa alkaline.

Fanya hivi kila asubuhi kabla hujala chochote chukua bilauli kamulia limao moja kisha ongeza Maji kidogo kunywa.

Limao ikifika tumboni inabadiri asidi kuwa alkaline
 
Hiyo Typhoid uliitibu pia?
If yes, niambie ulitumia dawa gn
Aixe walinipa dawa nyingi ila za typhoid nilizozizoea zile za kama cipro zikuziona,nikifika nyumbani nitapiga picha ile kalatasi iliyoandikwa dawa natuma
 
Mkuu hebu nunua Mucogel
 
Nina hili tatizo pia, vipi kiongozi ushapata suluhu?
 
Ila tango mi huwa linanisaidia sana.Pia mtindi pia japo wengine mtindi hauwakubali.Ila Mtindi ni bonge la tiba aisee
 
Dah! Huu uzi ulijibiwa kimasihara sana!!! Naimbeni msaada hapa. Kuna shida imetokea
 
Dawa nzuri ni ile inayobadiri asidi kuwa alkaline.

Fanya hivi kila asubuhi kabla hujala chochote chukua bilauli kamulia limao moja kisha ongeza Maji kidogo kunywa.

Limao ikifika tumboni inabadiri asidi kuwa alkaline
Limao Lina citric acid sio alkaline mkuu ni weak acid hivyo ukitumia inakuzidishia tatizo sio kukusaidia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…