Msaada: Njia ya kutumia memory card kwenye simujanja zaidi ya moja bila kuformat

Msaada: Njia ya kutumia memory card kwenye simujanja zaidi ya moja bila kuformat

Mechanic 97

JF-Expert Member
Joined
Feb 6, 2021
Posts
854
Reaction score
1,296
Wakuu miaka michache iliyopita huko niliwahi pata idea kazaa ya biashara kuhusu teknolojia, sanyansi na Sanaa. Hivyo nimeamua kuchukua hatua Kwa kuanza na teknolojia ni simple idea lakini naona itakua na manufaa Kwa watu wengine.

Hivyo katika kupangilia jambo nimekutana na kipengere Cha jinsi ya kushare mafile mwanzo niliona nearby share inaweza kua msaada lakini kwasasa nimeona wameamua kuja na quickshare njia ambayo Kwangu mm inanisumbua hivyo wakuu.

Naomba mnisaidie njia ambayo itanifanya niitumie memory card kwenye simu mbalimbali bila kuformat pale ambapo nitaiweka kwenye simu nyingine hususani ni Kwa simu ambazo hazi support OTG
 
Kutumia memory card bila ya kuformat iyo kujua haina ya simu kama zina soma format moja au aina moja kwaiyo hapo utatumia bila ya kufotmat
 
Ukitumia kama external then no need to format
 
Kutumia memory card bila ya kuformat iyo kujua haina ya simu kama zina soma format moja au aina moja kwaiyo hapo utatumia bila ya kufotmat
Kwa hiyo inategemeana na aina ya simu kuna Ile waga wanasema Kua ukieject na kuzima simu unavyotoa kwenye simu Moja hutalazimika kuformat utakavyoweka kwenye simu nyingine
 
Ukitumia kama system internal storage hapo ndio inabidi uformat
Ukitumia kama internal storage haiwezekani hata kusoma kwenye kingine ya inakua inasoma humohumo tuu
 
Back
Top Bottom