... watumie wateja wote sms kuwajulisha hivyo!Acha uzembe nenda ofisi zao wakusaidie
Hiyo issues hadi ofisin
Huyo jamaa itakuwa anavuta mavi ya punda... watumie wateja wote sms kuwajulisha hivyo!
Mzee kuna namna yeyote ya kuangalia salio la NMB bila kutumia app... sio wewe tu mzee; ni kila mtu ana-face hilo tatizo karibu mwezi sasa baada ya ku-update hiyo app. Halafu wahusika wako kimya as if nothing happened!
... nimeachana na USSD na APP yao tangu app ilipozingua. Naendaga ATM.Mzee kuna namna yeyote ya kuangalia salio la NMB bila kutumia app
Maan nimejaribu USSD CODE *150*66# IMEKATAA INA LOAD ZAID YA NUSU SAA
Ah poapoa kiongoz... nimeachana na USSD na APP yao tangu app ilipozingua. Naendaga ATM.
Kwangu hata kuinstall tu inakataa... nasikia kuna maboresho wamefanya .naona wameharibu kabisaa...kila mtu analalamikaa... sio wewe tu mzee; ni kila mtu ana-face hilo tatizo karibu mwezi sasa baada ya ku-update hiyo app. Halafu wahusika wako kimya as if nothing happened!
... and yet they are so quite as if nothing happened! Tangu uongozi wa juu waachiwe ngozi nyeusi ovyo kabisa!Kwangu hata kuinstall tu inakataa... nasikia kuna maboresho wamefanya .naona wameharibu kabisaa...kila mtu analalamikaa
... kuwa "rooted" ndio nini mkubwa? Ilikuwa jukumu la NMB kuelimisha wateja.Simu zenu zina matatizo, mbona App iko fresh tu. Jaribu kucheki kama simu yako iko rooted, then unistall root. Weka off Developer huko setting kama iko On.
Naomba msaada nikilog in kweny account yangu ya NMB mkononi inakuja haya maneno
Na app ina closeView attachment 2696082
... sio wewe tu mzee; ni kila mtu ana-face hilo tatizo karibu mwezi sasa baada ya ku-update hiyo app. Halafu wahusika wako kimya as if nothing happened!
... watumie wateja wote sms kuwajulisha hivyo!
... nimeachana na USSD na APP yao tangu app ilipozingua. Naendaga ATM.
Kwangu hata kuinstall tu inakataa... nasikia kuna maboresho wamefanya .naona wameharibu kabisaa...kila mtu analalamikaa
... and yet they are so quite as if nothing happened! Tangu uongozi wa juu waachiwe ngozi nyeusi ovyo kabisa!
Nenda kwenye simu yako hafu weka OFF Developer Options.
Ata mi nilisumbuliwa ivo ivo ila sahivi fresh.
Simu zenu zina matatizo, mbona App iko fresh tu. Jaribu kucheki kama simu yako iko rooted, then unistall root. Weka off Developer huko setting kama iko On.
... kuwa "rooted" ndio nini mkubwa? Ilikuwa jukumu la NMB kuelimisha wateja.
NMB Tanzania, wateja wenu wamevurgwa kuhusu app yenu yet you are quite! Toeni ufafanuzi namna ya kuondokana na kadhi hii.Mkuu hii developer option naipata sehem gani
madmax
Hata Mimi nimeambiwa niende ofisini... sio wewe tu mzee; ni kila mtu ana-face hilo tatizo karibu mwezi sasa baada ya ku-update hiyo app. Halafu wahusika wako kimya as if nothing happened!
Acha kuwadharau WalimuKwenye huu uzi hawakosi walimu wawili watatu.