NDUKI
JF-Expert Member
- Jan 19, 2013
- 3,422
- 2,418
Salaam zenu wakuu.................ningependa kujuzwa sehem wanayotoa mafunzo kuhusiana na ufundi huo wa magari,nafaham kwamba unahitajika uwe na idea ya autoelectric ili uweze ku-deal na kifaa hiki ila sijaskia ni wapi hutoa mafunzo hayo hivyo nikaona si vibaya kuuliza coz JF kuna wengi hapa.
Na pia ningependa kujuzwa kuhusu hiki kifaa kwa gharama zake huwa kinagharimu kiasi gani kwa bei?,kama kuna mtu anafaham kuhusu suala hilo pia si vibaya akanijulisha kuhusu gharama za kifaa hiko na aina na wapi kinaweza kupatikana pia.
Natanguliza shukran za dhati kwenu na kwa yeyote atakayeweza kutoa msaada juu ya hayo,shukran.
Na pia ningependa kujuzwa kuhusu hiki kifaa kwa gharama zake huwa kinagharimu kiasi gani kwa bei?,kama kuna mtu anafaham kuhusu suala hilo pia si vibaya akanijulisha kuhusu gharama za kifaa hiko na aina na wapi kinaweza kupatikana pia.
Natanguliza shukran za dhati kwenu na kwa yeyote atakayeweza kutoa msaada juu ya hayo,shukran.