Msaada ofisi za HESLB

Radash

Member
Joined
Dec 12, 2012
Posts
41
Reaction score
16
Wadau kwa anaye fahamu ofisi mpya za HESLB anijuze maana nimesoma kwenye web yao wamesema ziko mwenge barabara ya sam nujoma bila kuspecify ni karibu na wapi au jengo gani...
Msaada tafadhali kwa anaye fahamu.
 
Wamehamia Mwenge karibu na Eneo la Vinyago. shuka Mwenge kituoni njoo mpaka huku wanakouza Vinyago MWenge. Ambaa upande huo kama unaelekea kanisa la Kakobe au kituo kinaitwa Lufungira then utaona jengo la ghorofa lilopakwa rangi ya Bluu utaona Bango lao. Au pita njia ya kwenda kwa Mama Ngoma Hosptali upande wa Kulia kama unatokea MWenge utapaona.
 
Shukran sana mkuu,ngoja niwatembelee leo leo..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…