mr. loner
Senior Member
- Aug 1, 2014
- 168
- 229
Wadau heri ya xmass, Namshukuru Allah nakaribia kuumaliza mwaka 2017.
Tafadhalini mnisaidie oil nzuri kwa pikipiki, Last month nilinunua oil ya Total ilikuwa na namba ya total alafu chini yake kuna 3000L. Sasa leo nimenunua tena kampuni hiyo hiyo ila safari hii imekuwa Total 5000L. Nilipomuuliza muuzaji nini tofauti yake akaniambia ya awali inatakiwa niibadilishe baada ya kilomita 3000. alafu hii ya sasa hivi natakiwa nitembee kilomita 5000 ndio niibadilishe. Sasa mwenye uzoefu na haya mail anisaidie.
Na pia natakiwa nitembee kilomita ngapi ndio nichange oil?
Tafadhalini mnisaidie oil nzuri kwa pikipiki, Last month nilinunua oil ya Total ilikuwa na namba ya total alafu chini yake kuna 3000L. Sasa leo nimenunua tena kampuni hiyo hiyo ila safari hii imekuwa Total 5000L. Nilipomuuliza muuzaji nini tofauti yake akaniambia ya awali inatakiwa niibadilishe baada ya kilomita 3000. alafu hii ya sasa hivi natakiwa nitembee kilomita 5000 ndio niibadilishe. Sasa mwenye uzoefu na haya mail anisaidie.
Na pia natakiwa nitembee kilomita ngapi ndio nichange oil?