Msaada: Paji la uso kucheza

Msaada: Paji la uso kucheza

Wewe jamaa ni kama mimi kuna muda jicho linaweza likacheza hadi nahisi litaanguka nini? [emoji23].

Walimwengu wakaniambia likicheza nifanye maamuzi ya haraka popote nilipo eti ni machale [emoji23][emoji23]

Sasa rafiki labda na wewe ujaribu hii mbinu ya walimwengu wenyewe wanasema ni mwili unakupa tahadhari juu ya jambo litakalotokea. Hao ni walimwengu japo madokta watakuambia ni ishu ua mzunguko wa damu au tishu za usoni.
 
Wewe jamaa ni kama mimi kuna muda jicho linaweza likacheza hadi nahisi litaanguka nini ? [emoji23].

Walimwengu wakaniambia likicheza nifanye maamuzi ya haraka popote nilipo eti ni machale [emoji23][emoji23]

Sasa rafiki labda na wewe ujaribu hii mbinu ya walimwengu wenyewe wanasema ni mwili unakupa tahadhari juu ya jambo litakalotokea. Hao ni walimwengu japo madokta watakuambia ni ishu ua mzunguko wa damu au tishu za usoni.
[emoji23][emoji23]..sawa sawa Boss.nitalifanyia kazi

Ila ulichokizungumza kinaweza kuwa na uhakika.

Katikati ya macho kwa juu...ndo linashake balaa[emoji23][emoji23]

Sasa sijajua Mungu ana jambo gani na mimi
 
Wakuu habarini,
Ni imani yangu wazima.

Ok..wakuu kuna hali nimeiona tangu juzi inanisumbua kidogo sijajua tatizo ni nini,May be linaweza kuwa jambo la kawaida....Ila kujua/kufahamu ni muhimu zaidi.

Wakuu samahani tangu juzi kama nilivyoandika hapo..paji langu la uso linacheza/shake nikimaanisha katikati ya macho kwa juu.

Tatizo ni nini? Au ni hali ya kawaida?

NAWASILISHA.
Bro mpk ninapoandika msg hii nina mwezi na nusu jicho la kulia chini linacheza Balaa, lakini ya walimwengu sijaona ht moja, Kuna mkuu hapo juu kasema ni tissue namini hivoo tu, yaani ilifikia niende Hospital maana nilihis sasa hiki nini tena.
 
Bro mpk ninapoandika msg hii nina mwezi na nusu jicho la kulia chini linacheza Balaa,lakini ya walimwengu sijaona ht moja,Kuna mkuu hapo juu kasema ni tissue namini hivoo tu ,yaani ilifikia niende Hospital maana nilihis sasa hiki nini tena.
Daah pole Mkuu...

Kuna mambo yanaweza kutokea akili ikacheza mbali..kumbe sio.

Jaribu kuwafutilia ujue tatzo ni nini haswa.
 
Back
Top Bottom