Msaada Passport ya kusafiria

Msaada Passport ya kusafiria

Mpatuka

JF-Expert Member
Joined
Nov 15, 2015
Posts
2,261
Reaction score
3,580
Kuna yeyote hapa ambaye amekutana na tofauti kati ya taarifa zilizopo kwenye cheti cha kuzaliwa na zile za kwenye NIDA? Hasa sehemu ya kuzaliwa zinatofautiana? Ninauliza kwa sababu nataka kufuatilia upatikanaji wa pasipoti na nina wasiwasi juu ya taarifa sahihi zinazohitajika na uhamiaji."
 
Ngoja wanaosafiri waje wakupe muongozo mkuu by the way hongera kwa kupata nafasi ya kusafiri kwenda ng'ambo angalau ukapate picha tofauti tofauti
 
Mimi cheti changu cha kuzaliwa na NIDA zinatofautiana sehemu za kuzaliwa ila nilipata passport yangu fresh kabisa. Ukienda kufuatilia passport watatumia taarifa za kwenye cheti cha kuzaliwa NIDA utapeleka namba tu au nakala ya kitambulisho ila taarifa watakazotumia ni za kwenye cheti cha kuzaliwa
 
Mimi cheti changu cha kuzaliwa na NIDA zinatofautiana sehemu za kuzaliwa ila nilipata passport yangu fresh kabisa. Ukienda kufuatilia passport watatumia taarifa za kwenye cheti cha kuzaliwa NIDA utapeleka namba tu au nakala ya kitambulisho ila taarifa watakazotumia ni za kwenye cheti cha kuzaliwa
Umemaliza kiongozi ngoja nifanye hima nianze taratibu.
 
Back
Top Bottom