Msaada: plastiki,chakula na mapishi

Box 2

JF-Expert Member
Joined
Apr 19, 2013
Posts
506
Reaction score
117
Wataalam wa afya, naomba msaada juu ya athari za kiafya kama zipo juu ya hili.Dada zetu na mama zetu siku wapikapo wali hufunika sefuria inayopikiwa wali kwa kutumia mifuko ya plastiki na hasa mieusi, je kuna athari zozote kiafya ?, huanza mfuko wa plastiki afu mfuniko, lakin dada zetu na mama zetu vipi utaalam huo unafanyika kwa faida zipi, tujuzane wataalam wa afya na wapishi wa wali.
 
Ngoja waje wataalamu...hii ishu niliwahi kuisikia ila sikuitilia maanani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…