msaada pleas wazo la biashara

msaada pleas wazo la biashara

Nyukibaby

Member
Joined
Jun 16, 2012
Posts
77
Reaction score
12
habar wana jf, kwa muda mwingi nimekuwa nikiwaza ni biashara gani naweza kufanya pasipo kupata jibu nina mtaji wa sh.2m je nibiashara gan naweza kufanya! Pleas jaman naitaji msaada wenu jaman
 
habar wana jf, kwa muda mwingi nimekuwa nikiwaza ni biashara gani naweza kufanya pasipo kupata jibu nina mtaji wa sh.2m je nibiashara gan naweza kufanya! Pleas jaman naitaji msaada wenu jaman

NiPM nikuunganishe na mdau mmoja ana asasi ya kifedha inayotoa mikopo kwa mwezi, ili uwekeze fedha yako awe anakupa iterest kila mwezi kwa kadiri mtakavyokubaliana.
 
Back
Top Bottom