habar wana jf, kwa muda mwingi nimekuwa nikiwaza ni biashara gani naweza kufanya pasipo kupata jibu nina mtaji wa sh.2m je nibiashara gan naweza kufanya! Pleas jaman naitaji msaada wenu jaman
habar wana jf, kwa muda mwingi nimekuwa nikiwaza ni biashara gani naweza kufanya pasipo kupata jibu nina mtaji wa sh.2m je nibiashara gan naweza kufanya! Pleas jaman naitaji msaada wenu jaman
NiPM nikuunganishe na mdau mmoja ana asasi ya kifedha inayotoa mikopo kwa mwezi, ili uwekeze fedha yako awe anakupa iterest kila mwezi kwa kadiri mtakavyokubaliana.