N Nyuki baby Member Joined Feb 24, 2012 Posts 85 Reaction score 8 May 9, 2012 #1 Nataka kujua neno "KIPUSA" lina maana gani kwa wale wa2 wa kukaa maskani linawahusu 100%
Dotworld JF-Expert Member Joined Aug 10, 2011 Posts 4,035 Reaction score 3,776 May 9, 2012 #2 Michaely Benard mtei said: Nataka kujua neno "KIPUSA" lina maana gani kwa wale wa2 wa kukaa maskani linawahusu 100% Click to expand... . Michaely Benard mtei Sasa mimi sijui wa Maskani unawatafuta kwa sababu gani! ... na hiyo maana unayofikiria ni ya maskani pia ni maana hiyo hiyo kwa kiswahili fasaha. Katika Kamusi ya TUKI wamelielezea neno hilo katika maana mbili Kipusa 1. = rhino horn. 2. = (sio rasmi) beautiful young lady. Mimi nahisi wewe ulikuwa unataka maana ya pili huku ukifikiria ni neno la mtaani wakati hata kwenye Kamusi lipo! .
Michaely Benard mtei said: Nataka kujua neno "KIPUSA" lina maana gani kwa wale wa2 wa kukaa maskani linawahusu 100% Click to expand... . Michaely Benard mtei Sasa mimi sijui wa Maskani unawatafuta kwa sababu gani! ... na hiyo maana unayofikiria ni ya maskani pia ni maana hiyo hiyo kwa kiswahili fasaha. Katika Kamusi ya TUKI wamelielezea neno hilo katika maana mbili Kipusa 1. = rhino horn. 2. = (sio rasmi) beautiful young lady. Mimi nahisi wewe ulikuwa unataka maana ya pili huku ukifikiria ni neno la mtaani wakati hata kwenye Kamusi lipo! .
Madame B JF-Expert Member Joined Apr 9, 2012 Posts 31,155 Reaction score 35,683 May 10, 2012 #3 Kipusa: mwanamke mrembo,mwenye kujikwatua. Ila hapo kwenye "wa kukaa maskani" sijapaelewa..!!