Msaada pleas

Msaada pleas

gabagaba

Member
Joined
Jun 4, 2011
Posts
36
Reaction score
4
Mda mref nmekuw nksumblw na tatz la mwl kupata joto hasa kwny vgnja na unyayo huwa nataman kushka v2 vya bard.Nahuwa nackia maumvu hasa kwny joint na nkfanya kaz ngum kdg huw na choka sana.Tafadhal naomb msaada wenu.
 
Inawezekana unasumbuliwa na ugojwa wa peripheral neuritis ambao unatokana na upungufu wa Vitamin fulani fulani hasa kwenye kundi la vitamin Bs, dawa za Neurobion, neurorubin zinasaidia kuondoa tatizo hilo.
NB: Sababu zipo nyingi lakini, Ulevi, kazi nzito za kutumia mikono kubeba mizigo kunachangia kwa aslimia kubwa kusababisha tatizo hili kwa mana huathiri ngozi, misuli na mishipa ya fahamu ya sehemu husika moja kwa moja .
Hivyo kuacha ulevi na kazi nyepesi huuhisha structure zilizoathirika.
Cheers
 
Back
Top Bottom