MSAADA PLEASE Kila nimalizapo ku sex mgongo unauma.

TOTS SHALO

Senior Member
Joined
Sep 24, 2012
Posts
152
Reaction score
25
Ni wiki kama ya nne hali hii inanitokea na cjajua nn tatizo kila nimalizapo ku sex baada ya kama saa moja iv mgongo unaanza kuuma haxa kwa chini karibu namakalio naombeni mxaada wenu kwan hali hii imekua ikiniboa hadi kuniondolea hamu yakutaka kusex.
 
Kabla sijajibu swali lako tunataka tujue kama ww ni Female au Male maana productive organs za F and M zipo tofauti kabisa na hata sababu za kuumwa mgongo hazipo sawa!Pia lumbar discs za F na M zipo tofauti kabisa kuzuia preasure!
 
Jinsia ni mwanaume kuhusu chanzo cha ugojwa kinaanza pale ninapomaliza kusex ndo mgongo unaanza kuuma eneo nililo litaja hapo awali.
 
Dogo huenda unatumika sana, maana kuna watu huwa wana kawaida ya kujipinda kama chura. Akimaliza ndo unashituka hee, kumbe brother ulikuwa nini wewe, tulifikira chura..!
 
Menopause inakunyemelea. Kwani hauna starehe nyingine?
 
Zpo nying kaka ila bnafic huwa napenda xana iyo ki2. Kwani huo ugonjwa ulioutaja unaathili hasa sehem gan za mwili?
 
Jaribu kuepuka style ya wewe kulala chali yeye amekaa juu wakati wa ku-do, sababu utajitahidi kujiinua ili japo umshike maeneo ya kifuani kwenda juu, hapo mgongo unahusika.
 
Uliwah kupiga nyeto?kama ndiyo io ndo itakuwa sababu kama laa kuna tatizo lingine
 
Ndugu inaonekana we ni mtu wa ofisin bila shaka computer kwa sana- mazoezi ni Zero-we unadhani ile ni shughuri ndogo- angalau mara moja kwa wiki fanya mazoezi
 
Mazoez nafanya japo kidogo xana kulingana na muda mwing nakua niko bize na kaz ila nashdwa kuelewa nn tatzo@... Kuhusu nyeto cjawai kabxa.
 

Nikwasababu tendo hilo unafanya bila kuolewa.... halafu unafululiza sana.. wiki nne ....
 
Sex ya kuvizia ndo taabu. Wenzio mgongo ukiuma sex ndo tiba lol.
Inawezekana haufanyi mazoezi ya kutosha. Jitahidi walau siku 3 kwa wiki utembee kilometeroja ama gym nusu saa. Angalia pia godoro unalolalia, kama lina miaka zaidi ya 4 toka kununuliwa huenda ndo linakudhuru.
 
Pole sana
 
Duh, Hebu usijikunje sana pindi pale ufanyapo matusi, maana nyie vijana ka kuvizia Ndio zenu eti mnasema unamkomesha,usifanye hivyo ...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…