MSAADA PLEASE Kila nimalizapo ku sex mgongo unauma.

mazozi ni muhimu sana piga mazoezi kwa kwenda mbele. Pia uwe na kiasi ngono siom kukomoana
 
Looks like you have a weak lower back, cha muhimu ni mazoezi. Hilo halikwepeki, na ukijipanga dakika 30 zinatosha sana kwa mazoezi. fanya mazoezi kama pullups, planks (mengine just type in google search "lower back exercises"). yako mengi sana na huhitaji kwenda gym.
 
Nenda kwa mganga wa kienyeji akupe dawa ya kupooza hiyo keikei! kwani unachimba almasi!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…