msaada please kuhusu LASER EYE SURGERY

Hardman

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2011
Posts
748
Reaction score
524
Habari waungwana...nauliza
1,hospitali gani wanafanya hiyo surgery?.
2.inagharimu kiasi gani?
3.efficiency yake ukilinganisha na kuvaa miwani ikoje?
mjuzi yeyote naomba afafanue hapa au PM .....thanx in advance
 
usiwe mvivu wa google!
najua google mkuu ila nahitaji kuckia kutoka kwa watu ....tatizo moja la kusoma kwa websites ni kwamba things are rarely updated kwa hiyo unaweza pata fixtures ambazo c sahihi
 
Laser eye surgery ni nzuri,inabidi umuone daktari wa masuala ya macho akuambie kama utafaa kuwa best candidate kwa ajili ya laser surgery.Cornea sehemu ya jicho inayoonekana inapokuwa rough, inasababisha matatizo ya kuona kwa sababu ya reflections zinazotokea on rough surfaces. Laser hapa inanyoosha hii cornea surface ili mwanga upite vizuri uweze kuona. Si kila tatizo la jicho laweza kutibiwa kwa laser surgery.mengine yanakuwa corrected kwa kuvaa miwani,nchi nyingi zilizoendelea,usa, england,china ,german,india,huduma hii inapatikana.
 

sante mkuu....naulizia kwa mgonjwa wa hypermetropia na myopia
 
shortsightedness(myopia),hypermetropia(hyperopia) can be treated by laser also, au glasses na contact lenses.ili kuwa na uhakika vizuri ni vyema ukamchek doc akuambie kama unaweza fanya that type of surgery. Wengine wanavaa glasses for some time tu n their conditions are corrected.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…