Dodoma moja
JF-Expert Member
- Jan 3, 2014
- 307
- 182
Wakuu nimetembelea baadhi ya vyuo, vimeshatoa matangazo ya watu kuapply lakin wanasema ni kupitia tcu, sasa ninachotaka kujua ni kuwa tcu wamesharuhusu watu kuanza kuapply? Msaada wenu tafadhali
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wakuu nimetembelea baadhi ya vyuo, vimeshatoa matangazo ya watu kuapply lakin wanasema ni kupitia tcu, sasa ninachotaka kujua ni kuwa tcu wamesharuhusu watu kuanza kuapply? Msaada wenu tafadhali
TCU bado hawajaanza kupokea maombi.Taarifa ni kuwa wataanza tareh 12/5/2014