Msaada please Madaktari wa mifugo

Msaada please Madaktari wa mifugo

Retired

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2016
Posts
44,629
Reaction score
83,056
Ngombe ana mastitis kali. Maziwa yote manne yalikuwa yameugua yanatoa maziwa almost kama yananata kama gundi ya maji. Akatibiwa kwa Gentamycin, then akaja daktari akasema ungelianza na dawa ya chini kama penstrep na maltijet infusion tubes zenye penicillin na strptomycin. Nikafanya hivyo kwa kuwainject three doses of multijet infusion tubes instead of a single injection kama ilivyo ada.

Wakaimprove vizuri maziwa yakaanza kuwa meupe.
Tatizo la sasa
1.Chuchu moja bado inaleta shida. Nifayeje?
2. Maziwa yalianza kuwa meupe, leo jioni yamekuwa tena yellowish

Niwatibu na nini?
 
Tumia amoxylin 10%.

Halafu jaribu kuboresha usafi wa vyombo vya kukamulia ikiwezekana vi sterilised autumia vyombo vyake special vya kukamua maziwa na awe wamwisho kweny kumkamua.

Achana na hizo bomba utauwa chuchu zote
 
Tumia penstrep mwanzo mwisho mpka lipone ukilichelewesha litakufa
 
Tumia amoxylin 10%
Halafu jaribu kuboresha usafi wa vyombo vya kukamulia ikiwezekana vi sterilised autumia vyombo vyake special vya kukamua maziwa na awe wamwisho kweny kumkamua.
Achana na hizo bomba utauwa chuchu zote
ASANTE, nifafanulie zaidi kweye amoxylin 10%, is it an injection, or what?
 
ASANTE, nifafanulie zaidi kweye amoxylin 10%, is it an injection, or what?
Injection
Mdunge intramuscular
Kumbuka ku sterilised milking equipment kuboresha usafi zaidi kabla ya kukamua na baada ya kukamua.
 
Ngombe ana mastitis kali. Maziwa yote manne yalikuwa yameugua yanatoa maziwa almost kama yananata kama gundi ya maji. Akatibiwa kwa Gentamycin, then akaja daktari akasema ungelianza na dawa ya chini kama penstrep na maltijet infusion tubes zenye penicillin na strptomycin. Nikafanya hivyo kwa kuwainject three doses of multijet infusion tubes instead of a single injection kama ilivyo ada.

Wakaimprove vizuri maziwa yakaanza kuwa meupe.
Tatizo la sasa
1.Chuchu moja bado inaleta shida. Nifayeje?
2. Maziwa yalianza kuwa meupe, leo jioni yamekuwa tena yellowish

Niwatibu na nini?
Mkuu vp Ng'ombe wako alisaidika?
 
Back
Top Bottom