Msaada please mwili kukosa nguvu

Joined
Jan 8, 2014
Posts
93
Reaction score
32
JamanI habari za leo.

Ijapokuwa ni mgeni humu jukwaani lakini naombeni msaada katika hili.
katika kipindi cha miaze kama mitatu hivi mwili wangu unakosa nguvu kwa kiasi kikubwa sana hasa miguuni.sijui hili tatizo latokana na nini wataalamu wangu.

Nifanye nini kukabiliana na hili tatizo.

karibuni wakuu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…