Msaada please:Nataka kuishtaki tigo

bigcell

JF-Expert Member
Joined
Oct 6, 2010
Posts
219
Reaction score
60
wana jf natafuta msaada wa kisheria jinsi ya kuishtaki mtandao wa tigo,wamezidi kuniibia(over charge) ni mwaka wa 3.5 sasa sina hamu nao kabisa.Nataka wanilipe fidia inatisha sana.


Nawakilisha.
 
wana jf natafuta msaada wa kisheria jinsi ya kuishtaki mtandao wa tigo,wamezidi kuniibia(over charge) ni mwaka wa 3.5 sasa sina hamu nao kabisa.Nataka wanilipe fidia inatisha sana.
Nawakilisha.

Peleka jukwaa la sheria.
Halafu jitahidi kutoa facts za kesi yako, ili upate msaada kwa urahisi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…