Msaada please

Msaada please

zayat

JF-Expert Member
Joined
Dec 29, 2010
Posts
337
Reaction score
42
Wana jamii naomba msaada wenu ati BORA KAZI KULIKO MKE?
 
Bora kazi ndio.
We na huyo mkeo mtakula mawe?
Ila usimuoneshe mkeo kuwa kazi ni bora kuliko yeye.
Huwa hatupendi ukweli katika hilo.
 
Kazi ni ya muda .... lakini mke si wa muda, kama unataka kwa muda mfupi bora Kazi kama Maisha............................, (Simaanishi Ndoa mke wa msimu yaani kipindi cha kupikiwa ftari!!!!!)
 
huyo mke pia ni kazi. tafauti ni ile kazi nyengine unalipwa mshahara lakini hii kazi ya mke haulipwi na utatakiwa ulipie wewe garama za kutunza familia. kuna kamsemo kanasema "kuumbwa mwanaume ni nusu ya kufeli maisha" hehehe wahenga wetu walikuwa walevi lakini samtaimu walikuwa na kaukweli flani hivi.
 
huyo mke pia ni kazi. tafauti ni ile kazi nyengine unalipwa mshahara lakini hii kazi ya mke haulipwi na utatakiwa ulipie wewe garama za kutunza familia. kuna kamsemo kanasema "kuumbwa mwanaume ni nusu ya kufeli maisha" hehehe wahenga wetu walikuwa walevi lakini samtaimu walikuwa na kaukweli flani hivi.

Ndo muache kuogopa wasomi ili msaidiane majukumu!
 
Zayat, jibu tayari unalo. Sasa wewe unauliza swali gani?
 
inategemea mke yukoje na kazi ipi!kuna mke aambaye unatamani hata usiende kazini,na ukiwa kazini unatamani urudi haraka,huyu ni zaidi ya kazi!na kuna mke ambaye unatamani kukuche usepe zako job,na unajichelewesha kurudi kazini angalao uvute tym cku iishe, kwa huyu si bora kazi jamani?kadhalika kuna kazi ambazo ni full kuboa unaifanya bac 2,hizi huwezi kuzilinganisha na mamaa!
 
Back
Top Bottom