Habari wanajamvi. Naamini niko sehemu sahihi ya kuweza kupatiwa msaada wa tatizo langu. Wife amejifungua kama mwaka mmoja hivi, sasa kuna nyama imeota kama kamkia katika sehemu ya haja kubwa. Mimi na yeye tumejadiliana na kukubaliana kwenda hospitali ili kufanyiwa operation ndogo. So ombi langu ni kama mtu anafahamu hospital nzuri kwa hapa Dar es Salaam naomba anidirect au kama anafahamu daktari mzuri wa wamama anayedeal na issue kama hizi naomba unisaidie muongozo please.
Natanguliza shukrani.