majany
JF-Expert Member
- Sep 30, 2008
- 1,223
- 585
Habari wadau...
Nina tatizo ambalo naomba wa jamii mnisaidie...
Tarehe 2 january 2012 nilimuuzia mtu gari yangu kwa thamani ya mil.5 na laki 3,kwa makubaliano kwamba atanilipa 3M cash,na zitakazobaki,anilipe nusu yake mwezi wa pili na inayobaki mwezi wa 3...
Kilichotokea..
Mwezi wa pili alinilipa sh.600,000 na ameshindwa kumalizia pesa iliyobaki yaan 1,700,000..
Nimefanya efforts nyingi bila mafanikio..ameshaandika commitment letter zaidi ya mbili na hakamilishi..
Ninahitaji kusonga mbele kwa sababu gari anaendelea kulitumia, na anendelea kurelax....
Je ninaweza kulipeleka swala langu mahakamani na mdaidwa akapewa zuio la kutumia gari mpaka shauri la msingi litakapoisha???Zipi ni taratibu za kufungua shauri hilo???Mwisho,what are the possible remedies(outcomes) zinazoweza kutolewa na mahakama???
Nb.
Kesi lama hizi huweza kuisha ndani ya muda gani??
Naombeni ufafanuzi...
Thanks...
Nina tatizo ambalo naomba wa jamii mnisaidie...
Tarehe 2 january 2012 nilimuuzia mtu gari yangu kwa thamani ya mil.5 na laki 3,kwa makubaliano kwamba atanilipa 3M cash,na zitakazobaki,anilipe nusu yake mwezi wa pili na inayobaki mwezi wa 3...
Kilichotokea..
Mwezi wa pili alinilipa sh.600,000 na ameshindwa kumalizia pesa iliyobaki yaan 1,700,000..
Nimefanya efforts nyingi bila mafanikio..ameshaandika commitment letter zaidi ya mbili na hakamilishi..
Ninahitaji kusonga mbele kwa sababu gari anaendelea kulitumia, na anendelea kurelax....
Je ninaweza kulipeleka swala langu mahakamani na mdaidwa akapewa zuio la kutumia gari mpaka shauri la msingi litakapoisha???Zipi ni taratibu za kufungua shauri hilo???Mwisho,what are the possible remedies(outcomes) zinazoweza kutolewa na mahakama???
Nb.
Kesi lama hizi huweza kuisha ndani ya muda gani??
Naombeni ufafanuzi...
Thanks...