umenenaIfm na IAA.
Wana jamvi, nina kijana anataka kufanya Postgraduate Diploma ya IT, chuo gani wanatoa course hiyo?
ningekua kwenye mazingira ya kuweza kufanya utafiti mwenyewe ningeshafanya, sorry kama nimekukwazaIngawa kuuliza si ujinga, ulipaswa kufanya utatifi binafsi kabla ya kutaka wana JF wakutafunie wewe utafune. Hivyo ningeshauri ufanye utafiti wako utakupa jibu zuri.