aljun raj JF-Expert Member Joined Oct 17, 2012 Posts 203 Reaction score 46 Mar 15, 2013 #1 Dctr mi huwa nikilala naota nangoneka na msichana nisiemjua than nikistuka najikuta nimechafuka kweli tatzi ili huwa linanitokea mwezi baada ya mwezi si jui kwann!
Dctr mi huwa nikilala naota nangoneka na msichana nisiemjua than nikistuka najikuta nimechafuka kweli tatzi ili huwa linanitokea mwezi baada ya mwezi si jui kwann!
Chocs JF-Expert Member Joined Aug 21, 2012 Posts 8,411 Reaction score 4,777 Mar 15, 2013 #2 Mmh,ndugu fanya maombi kwa imani yako..hizo si ndoto nzuri.
Kifai JF-Expert Member Joined Jan 18, 2013 Posts 816 Reaction score 173 Mar 16, 2013 #3 Pole, sali sana
mtzedi JF-Expert Member Joined Dec 13, 2011 Posts 5,983 Reaction score 6,171 Mar 16, 2013 #4 Pole labda nayo ni kama MP.
Jeff JF-Expert Member Joined Sep 26, 2009 Posts 1,293 Reaction score 200 Mar 17, 2013 #5 mtzedi said: Pole labda nayo ni kama MP. Click to expand... wahi kutafuta suluhu mkuu, hiyo ndoto sio nzuri kabisa, ni jini mahaba bila shaka, maombi ndio njia pekee ya kukuondoa katika tatzo hilo
mtzedi said: Pole labda nayo ni kama MP. Click to expand... wahi kutafuta suluhu mkuu, hiyo ndoto sio nzuri kabisa, ni jini mahaba bila shaka, maombi ndio njia pekee ya kukuondoa katika tatzo hilo
N NatJ JF-Expert Member Joined Mar 6, 2013 Posts 353 Reaction score 147 Mar 17, 2013 #6 Pole sana jitahidi kufanya maombi hasa kabla hujalala na kukemea hiyo hali
Fadhili Paulo JF-Expert Member Joined Sep 1, 2011 Posts 3,211 Reaction score 993 Mar 17, 2013 #7 umeshaoa au bado?
aljun raj JF-Expert Member Joined Oct 17, 2012 Posts 203 Reaction score 46 Mar 17, 2013 Thread starter #8 Bado sijaoa fadhili