"Msaada please"

"Msaada please"

Sajunne

Senior Member
Joined
Jul 19, 2011
Posts
104
Reaction score
58
Habari zetu wadau. habari za siku nyingi, Nimeleta kwenu
maada inayonitesa na kunihangaisha kwa muda mrefu sasa. Nimekuwa nikiugua typhody + malaria kila mara pasipo kupona kabisa na ninafuata kanuni zote za matumizi ya dawa za typhody na nipo makini sana na matunda pamoja na maji yasiyo chemshwa.
 
Back
Top Bottom