Msaada Please!!!

Msaada Please!!!

Salih

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2013
Posts
642
Reaction score
420
Naomba msaada wa kujua gharama ya kuweka jino bandia maana nasikia kuna aina tofautitofauti na gharama tofauti, kikubwa jino langu limekatika juzi kulikuwa na ugomvi kidogo, lipo nusu tena la mbele juu so linaleta shoo mbaya nimekata shauri ya kuling'0a na kuweka ya bandia, au kama jinsi ya kulifanya lirudi ktk hali ya kawaida naomba mnijuze......Natanguliza Shukrani
 
Yan wwe uchokoze ugomvi ukijua ---- meno ya bandia,kaa hivyo hivyo watu wakutambue
 
Back
Top Bottom