Msaada pleasee!!

D'ass

Member
Joined
Dec 25, 2012
Posts
7
Reaction score
2
Habari wanafamilia,

Kumekua Kukitokea Tatizo Ambalo Linasababishwaa Na Unyawaji Wa Haya Madawa Ya Antibiotics(nikimaanisha kitu kama Allergy)
Ambapo Mtumiaji Wa Antibiotics Anakua Anapata Reactions Sehemu Za SIRI. Kunatokea Muwasho Wa AJaaaabu Usioishaa Na Wakati Mwingine Hutokea Vipele Na Hua Inawakumba Saaana Wanawakee. Naombeni Upeo Wenu Katika Hili.
:help::help::help:
 
Nashauri utafute wataalamu wa madawa na allergy watakusaidia zaidi maana hiyo ndiiyo kazi yao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…