eti inasemekana kwa mwanamke mwenye mimba ya kwanza kuna uwezekano wa kujifungua mapema zaidi kabla ya tarehe anayoifikiria???? kabla ya wiki moja au mbili??? nijuzeni pleaseee na kama ndivyo sababu ni zipi??
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.