Kifai JF-Expert Member Joined Jan 18, 2013 Posts 816 Reaction score 173 Sep 25, 2013 #1 eti inasemekana kwa mwanamke mwenye mimba ya kwanza kuna uwezekano wa kujifungua mapema zaidi kabla ya tarehe anayoifikiria???? kabla ya wiki moja au mbili??? nijuzeni pleaseee na kama ndivyo sababu ni zipi??
eti inasemekana kwa mwanamke mwenye mimba ya kwanza kuna uwezekano wa kujifungua mapema zaidi kabla ya tarehe anayoifikiria???? kabla ya wiki moja au mbili??? nijuzeni pleaseee na kama ndivyo sababu ni zipi??
Kifai JF-Expert Member Joined Jan 18, 2013 Posts 816 Reaction score 173 Sep 25, 2013 Thread starter #2 jamani mmegoma au?
chakii JF-Expert Member Joined Sep 15, 2013 Posts 20,834 Reaction score 26,217 Sep 25, 2013 #3 akina dada mko wapi jamani, njooni mumsaidie mwenzenu huku
F farkhina Platinum Member Joined Mar 14, 2012 Posts 14,568 Reaction score 16,917 Sep 25, 2013 #4 Hata me nimeskia kitu kinafanana na hicho
NGULI JF-Expert Member Joined Mar 31, 2008 Posts 4,801 Reaction score 643 Sep 25, 2013 #5 Hilo swali ingekuwa vema ungezungumza na daktari wako wa clinic. Au experienced mamas at ur area
Msamiati R I P Joined Mar 6, 2011 Posts 1,063 Reaction score 700 Sep 25, 2013 #6 Stori za vijiweni hizo wengine wanazikuuuuuza hawajui tukikosaga vya kuongea tunaongea yoyote yanayosikilizika! Sio docta lakini tusubiri wataalamu
Stori za vijiweni hizo wengine wanazikuuuuuza hawajui tukikosaga vya kuongea tunaongea yoyote yanayosikilizika! Sio docta lakini tusubiri wataalamu