msaada pliz!

msaada pliz!

Mphilipino

New Member
Joined
Nov 24, 2010
Posts
3
Reaction score
0
:disapointed:how can I solve the problem of bad sector,caz pc yangu ilikuwa na 60GB then 20GB only available
 
:disapointed:how can I solve the problem of bad sector,caz pc yangu ilikuwa na 60GB then 20GB only available

hapo cjui itakuwaje chizi computer kazira jukwaa but najua wapo magreatthinker kibao humu subiri me simkali sana maeneo hayo
 
im not good in hardware, but if would throw a dumb idea.. try to defragment the disk.
 
uliwahi kufanya partition? maana sometime kama ulifanya partion na ukawa na partion mbili yaani ya 20 inamaana hiyo nyingine itakuwa 40. ok kama ni hivyo then ulipo install windows ( xp ) ili format 20gb kuwa drice C na hukuformat hiyo 40gb. hiyvo hiyo 40gb haitaonekana. kama ni hivi ulifanya we can proceed ila kama sio hivi ulifanya then weka maelezo sawa ili yaeleweke
 
uliwahi kufanya partition? maana sometime kama ulifanya partion na ukawa na partion mbili yaani ya 20 inamaana hiyo nyingine itakuwa 40. ok kama ni hivyo then ulipo install windows ( xp ) ili format 20gb kuwa drice C na hukuformat hiyo 40gb. hiyvo hiyo 40gb haitaonekana. kama ni hivi ulifanya we can proceed ila kama sio hivi ulifanya then weka maelezo sawa ili yaeleweke

Hili ndio jibu sahihi zaidi.
Ili kujua kama aliyosema calvin ni kweli fanya yafuatayo.
1. bofya START
2. bofya kulia MY COMPUTER
3. bofya MANAGE, litakuja dirisha la COMPUTER MANAGEMENT
4. ktk dirisha la computer management, bofya DISK MANAGAMENT, utaziona PARTITIONS zilizopo katika pc yako ikiwemo na hiyo usiyoiona kwa sasa. Kama ukiiona hiyo partition, waulize wataalam nini cha kufanya ili uweze kuitumia.
Nakutakia kila la heri, usisahau kutujuza kama utafanikiwa au la.


 
Back
Top Bottom