Usiku anaamka ananiambia dada mbona mimi nimetulia, au mimi ni mbaya, mbona nina tabia nzuri, sijawahi kumsaliti, sijawahi kulala na mtu zaidi yake yaani, nyumba imekuwa kama msiba hakujawashwa redio wala TV
Naomba nijue ukweli.. wewe kama dada yake lazima umemsoma.. vipi yeye binafsi anataka kuamua vipi?? Na the guy vipi siku zoote mpaka sasa vipi attitude yake??
vyovyote mtakavyojitetea ila hamuumiii kama sisi.
:a s 103::a s 103::a s 103:i real feel sorry for her!!!
Namuombea mungu tu, sina cha kumwambia!!!!
Hakuna kiwango cha kuumia bana tena especially linapokuja suala la mapenzivyovyote mtakavyojitetea ila hamuumiii kama sisi.
Amenipigia muda mfupi uliopita jamaa kaja kuchukua vitu vyake vyote ikiwemo gari, kadi ya gari japo alimuandikisha na kila kitu, anasem aanataka amlee mtoto wake, yeye hakupata mapenzi ya baba kwa hiyo anataka mtoto wake ayapate. anamwambia samahani kwa kukupotezea muda
Usiku anaamka ananiambia dada mbona mimi nimetulia, au mimi ni mbaya, mbona nina tabia nzuri, sijawahi kumsaliti, sijawahi kulala na mtu zaidi yake yaani, nyumba imekuwa kama msiba hakujawashwa redio wala TV
Kwa jinsi nilivyomsoma na maongezi yake hataki kuwa na jamaa tena, anasema jmaa sasa hv attention iko kwa mtoto wake sana kwa hiyo hawezi kumjali yeye jamaa alikuwa mtu mzuri sana mapenzi ya dhati, ila huwezi kujua moyo wa mtu labda alikuwa anapretend sijui
Mimi nimemshauri aachane naye, maana jamaa tangu jana hajasema chochote na kwenye simu hapatikani, sasa mdogo wanguananiuliza nimsrudishie vitu vyake eg. engagement ring nk maana ni ujinga kuvaa engegement mtu ana mwanamke tayari , halafu wala hajuti, huyo dada alikuwa anakaa arusha akamuhamishia dar, ili awe karibu na mtoto wake kwa mujibu wa chanzo chetu cha habari. ndo mtoto wake wa kwanza, mdogo wangu alikuwa na matatizo ya tumbo la uzazi ila alishatibiwa kwa hiyo aliwahi kubeba mimba mbili zikatoka, nadhani jamaa akaamua kujaribu kwingine
Amenipigia muda mfupi uliopita jamaa kaja kuchukua vitu vyake vyote ikiwemo gari, kadi ya gari japo alimuandikisha na kila kitu, anasem aanataka amlee mtoto wake, yeye hakupata mapenzi ya baba kwa hiyo anataka mtoto wake ayapate. anamwambia samahani kwa kukupotezea muda
Mimi nimemshauri aachane naye, maana jamaa tangu jana hajasema chochote na kwenye simu hapatikani, sasa mdogo wanguananiuliza nimsrudishie vitu vyake eg. engagement ring nk maana ni ujinga kuvaa engegement mtu ana mwanamke tayari , halafu wala hajuti, huyo dada alikuwa anakaa arusha akamuhamishia dar, ili awe karibu na mtoto wake kwa mujibu wa chanzo chetu cha habari. ndo mtoto wake wa kwanza, mdogo wangu alikuwa na matatizo ya tumbo la uzazi ila alishatibiwa kwa hiyo aliwahi kubeba mimba mbili zikatoka, nadhani jamaa akaamua kujaribu kwingine
Hahaha!!! DahMhhh! TF!...evidence please! 🙂
YouTube - Aaliyah - The One I Gave My Heart To (Music Video)mdogo wangu anafunga ndoa mwezi wa tisa, tupo kwenye process ila jan amegundua mchumba wake ana mwanamke na mtoto mchanga wa miezi mmitatu wamefanana kama mapacha, alizaa naye akiwa arusha amemleta dar amempangia nyumba ila jamaa ni smart imetumika trick kali sana kumnasa, mdogo wangu amechanganyikiwa sana nimemwambia kila neno nmechoka, embu nipeni tips za kumsaidia, ndani hakupikwi wala hakuliki.
Inauma sana aisee......i understand jinsi mdogo mtu hali aliyonayo sasa hivi it's difficult but life has to go onNaona jamaa bada ya kupiga hesabu za miaka minane na mimba mbili ambazo hazikuwa na mafanikio kaamua kuingia mitini, labda huyu wa Arusha haikumchukua muda mrefu kushika mimba na hatimaye kupata mtoto wake wa kwanza. Poleni sana, nasema poleni maana na wewe hili linakuathiri kwa namna moja au nyingine. Ukimuona mdogo wako anaumia na wewe lazima utakuwa unasononeka.
Merytina,mbona mimi nafahamu wanawake kibao ambao a day kabla ya sendoff yao wanakwenda kulalana na mabwana zao eti cha mwisho na weekend wanafunga ndoa na mtu mwingine,inatokea mara nyingi tu. Labda useme 'why human beings are like this?' , hapo nitakuelewa.why BOYS are like this?