Hello jf!naomba kufahamishwa alipo basil pesambili mramba na anafanya nin kwa sasa,huyu jamaa aliwah kutamka hadhari eti ni bora watanzania wale majani lakini ndege ya raisi ni lazma inunuliwe!mwaka jana,akakumbana na nguvu ya umma huko jimbon kwake rombo...tangu hapo cjamsikia tena...yeyote mwenye taarifa zake naomba anijuze pls..