Msaada pls

Perry

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2011
Posts
10,058
Reaction score
2,195
Hello jf!naomba kufahamishwa alipo basil pesambili mramba na anafanya nin kwa sasa,huyu jamaa aliwah kutamka hadhari eti ni bora watanzania wale majani lakini ndege ya raisi ni lazma inunuliwe!mwaka jana,akakumbana na nguvu ya umma huko jimbon kwake rombo...tangu hapo cjamsikia tena...yeyote mwenye taarifa zake naomba anijuze pls..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…