Msaada pls...

Joined
Nov 14, 2011
Posts
36
Reaction score
1
Jaman wanajamv naomba kuulza et mwanaume asipofanya mapenzi kwa muda mrefu kuna madhara yoyote anayoweza kuyapata maana kuna watu wanadai et anaweza kupoteza nguvu za kiume au zikapungua?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…