Msaada plz:je upo uwezekano wa kushika mimba hapo?

Marsy

Member
Joined
Dec 14, 2011
Posts
47
Reaction score
7
Wadau kuna uwezekano wa kupata mimba katika mazingira ambayo ni miez 2 tangu kujifungua ila mtoto haikuwa riziki,tangu hapo huoni cku kabisa.Je ni kawaida hilo kutokea?Na baada ya hiloni kipind gani kizuri kushika mimba tena?Ushauri ktk hilo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…