NeyB
Member
- Oct 20, 2012
- 24
- 5
Naomba nsaidiwe ktk hili,binafsi yng halijawah kunikuta since nianze kuomba kazi na kufanya baadhi ya tempo jobs..ni hivi: Recently kuna kazi ya research assistant ktk NGO moja hapa dsm which is US funded:nimeapply jana,leo nimepata email ya job description,muda wa project yote,payments na kila kitu...Sasa ambacho kimenshangaza,maybe me nmeshtuka na kushangaa sab sijawah kukutana nacho, labda wenzangu mnaweza kunsaidia: "Nmeambiwa kuna training ya siku saba, hafu kuna malipo ya training each day, ila We are required to pay 10,000 kwanza ktk M-PESA ya huyo Director kaweka Namba yake ya M-PPESA, tunalipa kwanza ndo tunaenda kuhudhuria training kwa ajili ya kazi. Binafsi yng kwa uzoefu wanguuuu woooteee cjwah kuambiwa nichangie chochote nkiapply kazi nasubir kuitwa,naanza training, nafanya kazi, nachukua changu basi..habari ya kulipia training ndo nianze kazi cjawah kukutana nayo...Maybe wenzangu mnaweza kunsaidia...