Naomba nielekezwe hospital nzur ya ngozi/dawa kutibu hl tatizo lng la alergy,nasumbuliwa na alergy(mzio)kwa mda sasa nahc ni ya chakula kwn natokwa n vipele vidogo vidogo vinavyowasha somtyms hasa kwny maeneo ya tumbon,shngon na mikonon, nimeshajarbu hospital kadhaa naona hawako na utaalamu huo bado haijasaidia.asante hop mtanisaidia kuhusu hlo!.