Msaada plz!!.

Wonder

Senior Member
Joined
Apr 20, 2013
Posts
166
Reaction score
46
Naomba nielekezwe hospital nzur ya ngozi/dawa kutibu hl tatizo lng la alergy,nasumbuliwa na alergy(mzio)kwa mda sasa nahc ni ya chakula kwn natokwa n vipele vidogo vidogo vinavyowasha somtyms hasa kwny maeneo ya tumbon,shngon na mikonon, nimeshajarbu hospital kadhaa naona hawako na utaalamu huo bado haijasaidia.asante hop mtanisaidia kuhusu hlo!.
 
hakuna dawa ya allergy zaidi zaidi ni za kutuliza maumivu. cha msingi ni kuepuka vitu vinavyokusababishia allergy. kama ni chakula inaweza kuwa mafuta
 
hakuna dawa ya allergy zaidi zaidi ni za kutuliza maumivu. cha msingi ni kuepuka vitu vinavyokusababishia allergy. kama ni chakula inaweza kuwa mafuta
Ndo cjajua n nn nikiepuke then nilickha kuna hosp zina vipimo vya kuonesha yapaswa kuepuka nn,yng nahc n ya chakula kinachonsumbua zaid n hv vipele vidogo vinavyontoka kwny ngozi.
 
Ndo cjajua n nn nikiepuke then nilickha kuna hosp zina vipimo vya kuonesha yapaswa kuepuka nn,yng nahc n ya chakula kinachonsumbua zaid n hv vipele vidogo vinavyontoka kwny ngozi.
hospitali hamna kipimo kinachoweza kukuambia uepuke vyakula gani ila kuna kipimo kinaweza kukuonyesha kama unaweza kama una protini zinazoweza kukuletea allergy au la. kapime kipimo hicho ili ujue kama ni allergy au kuna mambo mengine. lakini kwa ngozi angalia zaidi sabuni unazitumia japo chakula nacho inaweza kuwa sababu.
 
Unakula Pilipili sana? Maana unamatatizo kama yangu kaka ila mimi nilikuja kupima Aghakan nikaambiwa ni pilipili na majani mabichi ya ukwaju nisitafune na nilikuwa nayatafuna vibaya sana majani ya kwaju ila tangu nimeaacha tu sijapatwa na hiyo hali tena kaka try it.
 
Hamna pilipili situmii sn,mie cjajielewa bado kw maana ht nikivaa saa,chen,mkanda chuma zake zikinigusa tu nawashwa sn na kutokwa na vipele hvyo,so ingawa nimeviepuka vi2 hvyo kw kpnd now stl naona bado vipele vinantoka hvyo naona bado cjajua n k2 gn nikiepuke tena ambachn nahc n chakula cjajua n nn!.
 
Pole sana sana mafuta ya kupikia hua yanasababisha mzio...vuta subra utasaidika
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…