nadnan sab
Senior Member
- Jan 13, 2013
- 104
- 17
Khabari za saa hizi wanajamvi!
Kwanza shukran zangu za dhati kwa huduma na Ushauri tunazopata humu ndani kwa Kweli ni zenye faida chungu nzima kwa jamiii
Naomba Msaada plz niko na siku 3 kufikia leo naumwa na m*p*mbu ajabu na yamefura Kiasi kama kipira cha tenis nikitembea nahisi kuwa mazito je nitumie dawa gani iniondokee hii shida?
Kwanza shukran zangu za dhati kwa huduma na Ushauri tunazopata humu ndani kwa Kweli ni zenye faida chungu nzima kwa jamiii
Naomba Msaada plz niko na siku 3 kufikia leo naumwa na m*p*mbu ajabu na yamefura Kiasi kama kipira cha tenis nikitembea nahisi kuwa mazito je nitumie dawa gani iniondokee hii shida?