K kitaz Member Joined Sep 17, 2013 Posts 17 Reaction score 1 Nov 9, 2013 #1 Jaman jana kuna ndgu yangu ana miaka 21 kwa mara ya kwanza kazirai na kinachonshangaza alitoa povu kdg mdomon et hcho n kifafa?na alikua hajawah kuzirai tangu azaliwe..msaada kwa anayehamu please.
Jaman jana kuna ndgu yangu ana miaka 21 kwa mara ya kwanza kazirai na kinachonshangaza alitoa povu kdg mdomon et hcho n kifafa?na alikua hajawah kuzirai tangu azaliwe..msaada kwa anayehamu please.
Gefu JF-Expert Member Joined Nov 30, 2010 Posts 6,930 Reaction score 2,565 Nov 9, 2013 #2 ...mpeleke hospitali kwanza akapimwe...
L lilly petet Senior Member Joined Feb 20, 2013 Posts 144 Reaction score 22 Nov 9, 2013 #3 ajabu nenda hosptal utapata jibu kama ni kifafa ama lah!